Skip to main content

Edward Ngoyai Lowassa (Historia yake)



Edward Ngoyai Lowassa Alizaliwa Agosti 26, 1953,na kukulia Katika Kijiji Cha Ngarash huko Monduli,akiwa ni mtoto Mkubwa wa Kiume Kwa Mzee Ngoyai Lowassa.

HOTUBA YA MWAL. NYERERE

Alisoma Shule Ya Msingi Ya Monduli (1967-1971), Shule ya Sekondari Arusha Kwa Kidato Kwa Kwanza hadi cha nne (1967-1971) na Shule ya Sekondari Milambo kwa kidato cha Tano Na Sita (1971-1973).
 Ana Shahada ya Elimu na Sanaa kutoka Chuo Kikuu Cha Dar es
Salaam Aliyohitimu Mwaka 1977, Na Shahada ya Uzamivu Katika Maendeleo kutoka Chuo Kikuu Cha
Bath Nchini Uingereza aliyohitimu Mwaka 1984 Kwa udhamini Wa British Council.
Ni Mume wa Regina Lowassa na Wamejaliwa Watoto Watano, watatu wa Kiume Na wawili wa Kike.
Kikazi, Lowassa amekulia na kufanya kazi zaidi ndani ya CCM Na Serikali yake. Mara Baada ya Kumaliza Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam aliajiriwa na CCM Kama Katibu Msaidizina baadaye Katibu
wa Wilaya. Alipata kuwa Msaidizi wa Mzee Rashidi Mfaume Kawawa, Daudi Mwakawago Na Horace Kolimba.

Alifanya kazi pia Jeshini Sambamba na Rais Jakaya Kikwete Pamoja Na Abdulrahman
Kinana na Aliondoka Jeshini akiwa Na cheo cha Luteni.
Jambo moja ambalo watu Wengi hatukulijua kabla ni kwamba Lowassa Ni Miongoni mwa Wanasiasa Wanajeshi waliopigana Vita nchini Uganda mwaka 1978/1979.
Aliingia katika Siasa za serikali mwaka 1985
alipoteuliwa kuwa Mbunge kupitia Umoja Wa vijan UVCCM sambamba
na Anne Makinda na Jenerali Ulimwengu. 
Akiwa bado Mbunge mwaka 1989 aliteuliwa kuwa
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Mikutano ya Kimataifa Cha Arusha (AICC) ambako alidumu hadi Mwaka 1990 alipochaguliwa kuwa Mbunge wa Jimbo la Monduli hadi leo.
Baada ya Kushinda kura za Ubunge aliteuliwa kuwa Waziri katika Ofisi Ya Makamu Wa
Kwanza wa Rais akishughulikia Mahakama na Bunge 1990-1993, na Baadaye aliteuliwa kuwa Waziri Wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Mijini 1993-1995.
Mwaka 1997 aliteuliwa na Rais Benjamin Mkapa
kuwa Waziri Katika Ofisi ya Makamu wa Rais akishughulikia Mazingira na Umasikini.
Mwaka 2000 hadi 2005 alikuwa waziri wa Maji naMaendeleo ya Mifugo.
Aliteuliwa na Rais Kikwete Kuwa Waziri Mkuu
Desemba 30, 2005, Nafasi aliyodumu nayo hadi
Februari 7, 2008 alipojiuzulu kwa kile kinachojulikana kama kashfa ya Richmond.

Comments

Popular posts from this blog

JOHN POMBE MAGUFULI - WHO IS HE? - HIS CV

internet advertising AND THIS IS DR. JOHN POMBE MAGUFULI CV            HOTUBA YA MWAL. NYERERE John Pombe Magufuli   DR John Pombe Joseph Magufuli was born on October 29, 1959. He holds a PhD in Chemistry from University of Dar es Salaam.He has been a Member of Parliament (MP) for three terms, that is 2010 - 2015, 2005 - 2010 and 2000 - 2005 and has been a member of the ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM) since 1977. He has held various ministerial positions and currently is serving as the Minister of Works, the position he took up since May 4, 2012 until October 30, 2015 Other ministries he has served are Fisheries and Livestock Development, Lands, Housing and Human Settlement Development.He had also worked as the Deputy Minister for Works. Dr Magufuli started his education at Chato Primary School from 1967 to 1984 and went on to Katoke Seminary in Biharamulo for his secondary education from 1975 to 197

THE HISTORY OF JOHN POMBE MAGUFULI

internet advertising DR John Pombe Joseph Magufuli was born on October 29, 1959. He holds a PhD in Chemistry from University of Dar es Salaam. JOHN POMBE MAGUFULI He has been a Member of Parliament (MP) for three terms, that is 2010 - 2015, 2005 - 2010 and 2000 - 2005 and has been a member of the ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM) since 1977. He has held various ministerial positions and currently is serving as the Minister of Works, the position he took up since May 4, 2012 until October 30, 2015 Other ministries he has served are Fisheries and Livestock Development, Lands, Housing and Human Settlement Development. He had also worked as the Deputy Minister for Works. Dr Magufuli started his education at Chato Primary School from 1967 to 1984 and went on to Katoke Seminary in Biharamulo for his secondary education from 1975 to 1977 before relocating to Lake Secondary School in 1977 and completing in 1978. He joined Mkwawa High School for his A levels in 1979 an

Historia ya Mwalimu Nyerere Updated 2016

internet advertising    THE FAMILY ALBUM   Historia ya mwalimu Nyerere       SECRETS OF WRITING A SUCCESSFUL BUSINESS PLAN BREAKING NEWS! "Don’t Wear Underwear to Church!"  Pastor says! 2 Types of CV internet advertising